KWAHERI DITTO

Pichani ni Mwili aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Tabora Ditopile Mzuzuri ukipakiwa katika gari tayari kupelekwa katika chumba cha kuifadhia maiti cha hospitali ya mkoa wa Morogoro mchana huu mara baada ya kufariki dunia ghafla kwenye Hotel ya Hilux mjini Morogoro.Kifo chake kimethibitishwa na mganga Mkuu wa Hospitali ya Mkoa, Dk. Meshack Mmasi ambaye amesema alimpokea marehemu akiwa ameshafariki.

0 Response to "KWAHERI DITTO"

Powered by Blogger