KaRuMe, MkApA, kIkWeTe

Rais Jakaya Mrisho Kikwete(kulia),Rais Karume(kushoto) na Rais Mstaafu Benjamin William Mkapa wakibadilishan mawazo baada ya kumalizika Hitma ya Mama yake Dk shein,iliyofanyika jana katika msikiti wa Kwaboko Mjini Zanzibar.

BaDo NiPo

Leo nimemsikiliza Mwana FA na kazi yake mpya inayokwenda kwa jina la Bado nipo nipo,kwa kweli kazi hii inaongea ukweli na ukweli bado nipo nipo,tembelea www.bongo5.com ama http://www.bongo5.com/content/view/4401/203/lang,en/.

Chabo


Brain!


siku Alikiba alipokamua London.......


picha kwa hisani ya mdau wetu wa london...jane
Powered by Blogger