AJALI YA NDEGE....



Ndege aina ya Beaver yenye namba ya usajili 5YBCK inayomilikiwa na shirika la DLCO ikiwa katika mashamba ya miwa kijiji cha Kigenge Turiani wilayani Mvomero Morogoro baada ya kutua ghafla kutokana na kupatwa na hitilafu wakati ikifanya kazi ya kunyunyuzia dawa kwa ajili ya ndege waharibifu (koleakolea) hivi karibuni. Watu wanne walinusurika kifo.

0 Response to "AJALI YA NDEGE...."

Powered by Blogger