Maisha club kufunguliwa wiki hii



Askari wa zimamoto wakipambana na moto ulioteketeza Maisha Club maeneo ya Oysterbay jijini Dar mnamo Novemba 8, 2009. Habari za uhakika ambazo Globu ya Jamii inazo zinasema kwamba baada ya ukarabati mkubwa Maisha Club inatarajiwa kufunguliwa upya wiki hii na kuleta sura ingine katika viota vya maraha jijini Dar. Mmiliki wa Maisha Club, Mama Hellen Sweya, kesho anakutana na wanahabari kutangaza tarehe ya uzinduzi wa club hiyo

0 Response to "Maisha club kufunguliwa wiki hii"

Powered by Blogger