najua mnajua ila hii ni muhimu kujua zaidi

HABARI ZA KUTHIBITIKA!

Ufisadi WA Samwel Sitta

Ama kweli, ukistaajabu ya Mussa, utayaona ya Firauni!
Kama unadhani vigogo wa EPA ni mafisadi peke yao ,
basi ulikuwa hujamfahamu Spika wa Bunge SAMUEL JOHN
TEGEZA SITTA ! Ukimsikiliza anapoongea unaweza kuamini
kwamba kiongozi huyo wa Bunge ni msafi kutokana na
umahiri wake wa kujivalisha sifa kemkem – Mr Misifa.

Unakumbuka hivi karibuni alivyomtukana Naibu Spika eti
hawezi kusimamia mambo nyeti mpaka awepo yeye mwenye
Bunge? ! Kisa nini? Kupenda sifa na kumdhalilisha
mwenzake mbele ya umma, halafu bado anaendelea kuliita
Bunge eti ni chombo cha kidemokrasia!

Tumebaini kwamba Sitta amekuwa akijimiminia sifa
nyingi ili kulinda ufisadi anaoufanya usigundulike
katika jamii yetu. Ngoja nikupe tone tu la madhambi
yake kwa umma ili uone ni hatua gani utachukua, na ili
na yeye ajipime kwa nafasi yake. Angalia uchafu huu:--


Anatumia vibaya fedha za umma. Amekuwa akitumia
msaidizi wake kuchota mapesa kwa kisingizio kuwa ni
masurufu ya safari za ndani na nje ya nchi. Kila
safari ya siku moja ndani ya nchi huchukua shilingi
Milioni tano (5,000,000/=), na kila safari ya siku
moja nje ya nchi huchukua shilingi Milioni Kumi na
Tano
(15,000,0000/=).

Ameshindwa kufanya marejesho ya masurufu (imprest)
hayo, licha ya kupeleka risiti kadhaa za kughushi/za
uongo kwa Mhasibu Mkuu wa Ofisi ya Bunge. Mpaka sasa
anadaiwa jumla ya shilingi Milioni sitini
(60,000,000/=) za masurufu.-

SITTA hupeleka risiti za uongo kwa Mhasibu Mkuu,
zikionesha madai kutoka Oysterbay Pharmacy ya Shilingi
Milioni Mbili (2,000,000/=) aliyotumia kwa tiba kila
wiki.- Amekuwa akilazimisha hawara yake wa Hospitali
ya Aga Khan naye alipwe posho kama wabunge anapokwenda
naye Dodoma. Kwa mfano, hawara huyo alilipwa 'per
diem' kuanzia tarehe 13/12/2007 hadi tarehe 31/01/2008
(Siku 50). Huo ni Ufisadi mkubwa!

Anaye kimada wake mwingine anayekwenda kwa jina la
ASIA ambaye anaishi nyumba Na. 111 karibu na
Mahakama ya Ardhi Upanga na amezaa naye. Huko mtaani
kwao kimada huyo hujiita mama SITTA, na ni dada yake
aliyekuwa Mwenyekiti Mtendaji wa iliyokuwa Tume ya
Kurekebisha Mashirika ya Umma (PSRC). Mwanamke huyo
muda wote hutumia gari la Ofisi ya Bunge STK 232
Toyota RAV 4.

Pia anaye kimada mwingine (jina limehifadhiwa) ambaye
anaishi kinondoni (Livingstone), mtaa wa Honolulu
katika nyumba ya kupanga nayomilikiwa na dada yake
Kawawa. Nyumba hiyo inatazamana na Nyumba Na.
KH.MK/No. 337 katika mtaa huo huo. Kimada huyo hutumia
gari ya kiofisi ya Spika mwenyewe STK 3002.- Vimada
wote hao hupata huduma za maji na umeme kwa gharama za
Ofisi ya Bunge.

Kuna kipindi mke halali wa Spika, aliwahi kulalamikia
hali hiyo. Kuna siku maji yalikatika nyumbani, mke wa
Spika akaomba apelekewe ' bowser' la maji na Ofisi ya
Bunge. Ohooo! Watekelezaji wakapeleka maji kimakosa
kwa kimada. Mama Sitta akashtukia dili.

Kuna taarifa kwamba mnamo Mwezi Oktoba 2007, Kamati ya
Bunge ya Hesabu za Serikali PAC) iligundua mapungufu
makubwa katika matumizi ya fedha yaliyofanywa na Spika
SITTA. nimedokezwa kuwa Spika aliwanyamazisha wajumbe
wa kamati hiyo, ambapo aliwatishia kutowapatia posho
na safari za nje kama wangeyafumua mapungufu yake
hadharani! Hapo inaonesha kuwa wajumbe hao walipewa
rushwa!!

Kama JK anataka viongozi wa kisiasa na wa serikali
watenganishe biashara na uongozi wa ku – 'sacrifice'
kimojawapo, hilo litakuwa gumu kwa sababu Sitta
alipokuwa Mwenyekiti Mtendaji wa Kituo cha cha
Uwekezaji nchini (TIC) alitumia nafasi hiyo kuingia
ubia na wafanyabiashara wengi wa Kigeni. Je, Wizara
ya Maliasili na Utalii inatambua kuwa Spika ana hisa
kwenye kampuni moja ya Kichina inayosafirisha nagogo
licha ya marufuku yaliyowekwa?!

Nililokupa hapo ni tone tu.

0 Response to "najua mnajua ila hii ni muhimu kujua zaidi"

Powered by Blogger