
Ben Kinyaiya anawakaribisha wasanii wote na watu wengine kutembelea Pub yake iliyopo nyuma ya
Mango Garden Kinondoni. Kwa wale wasanii wanaopenda ma
graffiti sehemu hii utachakugua mpaka uchoke.

Kama hili utakutananalo kwa nje limetulia tuliiiiiiiii....

Kuna kaunta ya nje na ya ndani, hii ni kaunta ya ndani ikiwa inamaliziwa maliziwa. Huku
VIP unakula kipupwe safiiiiiii huku ukicheki tv yako iliyounganishwa na
Dstv.


0 Response to "WASANII MNAKARIBISHWA KUJA KUSHOOT KWENYE PUB YANGU."
Post a Comment