Wosia wa Marehemu naniii....
Mwenyekiti wa kamati ya mazishi akainuka na kuanza kusema "kinachofuata sasa ndugu wafiwa na marafiki wa marehemu ni kusoma historia fupi ya marehemu tuliyemzika hapa leo. Karibu ndugu uliyeandaliwa kwa shughuli hiyo"
Ifuatayo in historia fupi ya marehemu tuliyemlaza katika nyumba ya milele.
Marehemu alizaliwa juu ya mti ambapo mzazi wake alihifadhi baada ya kukimbia mafuriko miaka 26 iliyopita, hakubahatika kupata kazi ya maana japo alisoma mpaka kidato cha tano, aliamua kuacha shule mwaka juzi baada ya kuona elimu haina mpango kwake.
Mtoto alitutia hasara sana kwani alikuwa mwizi wa vitu vya ndani na pesa! Pia tumepoteza gharama kibao kumsomesha lakini aliishia kuwa shoga tangu tarehe 06/04/1999.
Marehemu hakuugua bali kifo chake ni cha kujitakia kwani kajiua baada ya kukosa nauli ya kwenda Mombasa kuhudhuria onyesho la vikundi 3 vya mduara.
Kwa niaba ya familia, wazazi na ndugu wa marehemu tunatoa pongezi kwa Mungu kwa kutupunguzia kero.
Asiilaze roho ya marehemu peponi wala asimpumzishe, kama kuna mkong'oto huko ampe kiaina.
AMEN
mambo yetu yaleee
Kuna hiki kiumbe dhaifu lakini cha ajabu hapa duniani
>kiitwacho mwanaume. Ni cha ajabu kutokana na uwezo
>wake wa kubadilika kufuatana na mazingira kilichomo
>kwa wakati husika. Hakika hata yule bingwa wa
>kujibadili kinyonga haoni ndani. Angalia kwa mfano
>mazungumzo ya simu ya kiumbe hiki.
>
>Miaka kama kumi nyuma wakati kikifahamika kwa sifa ya
>'mchumba wa mtu':
>"Sweetheart! Habari za asubuhi"
>"Nzuri tu dear, sijui wewe !"
>"Aa, mimi hali yangu sio nzuri kabisa"
>"Ee nini tena Dear !"
>"Nimekumiss mpenzi wangu, halafu usiku mzima wa jana
>nakuota tu!"
>"Jamani pole sana mpenzi"
>"Asante lakini haitoshi darling ! Hivi kwanza leo
>nitakuona saa ngapi?"
>"Sijui wewe labda unifuate wakati wa lanchi !"
>"Ok basi, wife to
be endelea na kazi huku ukiendelea
>kukumbuka ule wimbo wangu ninaoupenda kukuimbia !"
>"Mh? Upi tena huo dear ?"
>"Aaah unaniangusha darling ! Si ule wa oh my sweet,
>my sugar, let melove you forever, oo yes!, umeukumbuka
>?!"
>"Alaa! Huo! Basi nimeukumbuka! Bye dear!"
>"Bye, nibusu basi"
>"Baadaye dear, kuna watu hapa!"
>"Ok basi!"
>
>Haya basi miaka kumi na mbili na watoto wanne baadaye
>hiki kiumbe mwanaume sasa kina hadhi ya 'mume wa mtu'
>na sasa tunakutana nacho kikipiga simu kwa yulee mtu
>aliyekuwa mchumba wake miaka kumi na mbili nyuma na
>ambaye sasa anakwenda kwa hadhi ya "mkewe". Mazungumzo
>yaokwenye simu sasa ni "makavu" kama mtumba wa Manzese
>........!
>
>"Hujambo ?"
>"Sijambo ! Za kazi ?"
>"Safi, hawajambo hao ?"
>"Hawajambo tu !"
>"Huyu aliyekuwa anaharisha vipi ?"
>"Anaendelea vizuri, nimempa
enthoromycin naona
>inamsaidia"
>"Sawa huyo fundi wa TV naye kishafika ?"
>"Sijamuona !"
>"Sawa, akija muangalie sana asiibe vitu kwenye hiyo
>TV !"
>"Sawa, sasa Baba nanii...!"
>"Unasemaje?"
>"Kuhusu ile losheni"
>"Umeshaanza! Nimesema nitakununulia!"
>"Jamani Baba nanii.....! Mwezi wa pili huu sasa, kila
>siku unaniambia hivyo hivyo!"
>"Alaa! Tumeshaanza kuhesabiana siku sasa!"
>"Basi yaishe ! Mimi nilikuwa nakukumbusha"
>"Haya, mimi nitachelewa kurudi nyumbani kidogo kuna
>jamaa naenda kumcheki nikitoka kazini !"
>"Sawa"
>"Baadaye basi"
>"Sawa"
>Kiumbe kiitwacho mwanaume kinamaliza kuongea na mkewe
>na kukata simu.Bila shaka utapata taabu kukubali
>kwamba huyo ndiye yule yule aliyekuwa anaongea kwenye
>simu ya kwanza miaka kumi na mbili iliyopita. Bila
>shaka pia utajiuliza, yako wapi manenoyale
'darling',
>sweetheart', mpenzi na wimbo wa 'ooh my sweet my
>sugar!' sasa yamekuwa ni bidhaa adimu mdomoni mwa mume
>na masikioni kwa mkewe. Lakini ni kweli kwamba maneno
>hayoyamekuwa bidhaa adimu kwenye mdomo wa kiumbe hiki,
>mume ?
>
>Hebu tusikilize simu hii ya mwisho ya kiumbe huyu
>dakika chache tu baada ya kuongea na mkewe anaongea na
>simu hii akiwa amevua ile hadhi ya mume na kujivika
>mwenyewe bila kushurutishwa na mtu, hadhi ya buzi na
>anayeongea naye ni kiumbe mwenye hadhi ya mchuna buzi.
>Patamu hapo, babu yangu!
>
>"Haloo, darling!"
>"haloo mambo"
>"Poa! Unafanya nini sasa hivi darling wangu?!"
>"Aaa nipo tu natengeneza nywele zangu!"
>"Yees ! Zitengeneze vizuri ule mtindo ninoupenda,
>jioni nitapita hapo nikupeleke ukapate vikuku na
>vikopo viwili vitatu!"
>"Sawa darling ! Halafu dear, vipi kuhusu vile
vitenge
>vya Zaire wanavyopitisha wale kinamama niliokuambia!?"
>"Darling na wewe ! Si nilishakwambia wakipitisha tena
>we chukua tu pea mbili halafu uniambie tu mimi
>nitakupa pesa?!"
>"Asante ! Na vile viatu je ?"
>"Darling sasa unataka kuniudhi ! Nimeshakuambia kuwa
>sio lazima uniombe ruksa kila kitu ! We chukua halafu
>unaniambia mi nakupa hela, sawa ?"
>"Sawa mpenzi, nashukuru! Sasaaaa?"
>"Wee endelea kujitayarisha, mi nikimaliza tu kazi
>hapa nakuja kukupitia, au vipi !"
>"Sawa halafu nakumiss ile mbaya!"
>"Mi pia"
>"Asuu, haayo maumbile yako yananipendeza!"
>"Jamani mpenzi ! Hivi wenzako hawakusikilizi kweli
>hapo!?"
>"Watajaza ! Asuu roho ingekuwa nguo ningekuazima
>univae hadi mileleeeeee....!"
>"Bwana hebu acha!"
>"Ok basi darling, tutaonana baadaye!"
>"Haya, dear!"
>Mpsyuuuuuuuuuuuuuu!"
>"Asante
darling!"
>"Asante darling!"
>
>
> Naona tuishie hapa kwanza maana tayari kuna baadhi ya
>wanaume wameshaanza kuuchuna na kununa, kwa vile simu
>hizi tatu "zimewagusa"kiaina. Kazi kwao. Ujumbe wetu
>uko pale pale; wanaume, wake zenu wanastahili pia hizo
>'darling', 'oh my sweet', 'honey', mpenzi,
>'sweetheart' na 'asuu kila kilicho cha kwangu wewe
>chukua', mnazowapa wasiostahili ! Mungu kibariki
>kiumbe kinachoitwa mwanaume !.
>
>MWENYE MASIKIO,....................
>kiitwacho mwanaume. Ni cha ajabu kutokana na uwezo
>wake wa kubadilika kufuatana na mazingira kilichomo
>kwa wakati husika. Hakika hata yule bingwa wa
>kujibadili kinyonga haoni ndani. Angalia kwa mfano
>mazungumzo ya simu ya kiumbe hiki.
>
>Miaka kama kumi nyuma wakati kikifahamika kwa sifa ya
>'mchumba wa mtu':
>"Sweetheart! Habari za asubuhi"
>"Nzuri tu dear, sijui wewe !"
>"Aa, mimi hali yangu sio nzuri kabisa"
>"Ee nini tena Dear !"
>"Nimekumiss mpenzi wangu, halafu usiku mzima wa jana
>nakuota tu!"
>"Jamani pole sana mpenzi"
>"Asante lakini haitoshi darling ! Hivi kwanza leo
>nitakuona saa ngapi?"
>"Sijui wewe labda unifuate wakati wa lanchi !"
>"Ok basi, wife to
be endelea na kazi huku ukiendelea
>kukumbuka ule wimbo wangu ninaoupenda kukuimbia !"
>"Mh? Upi tena huo dear ?"
>"Aaah unaniangusha darling ! Si ule wa oh my sweet,
>my sugar, let melove you forever, oo yes!, umeukumbuka
>?!"
>"Alaa! Huo! Basi nimeukumbuka! Bye dear!"
>"Bye, nibusu basi"
>"Baadaye dear, kuna watu hapa!"
>"Ok basi!"
>
>Haya basi miaka kumi na mbili na watoto wanne baadaye
>hiki kiumbe mwanaume sasa kina hadhi ya 'mume wa mtu'
>na sasa tunakutana nacho kikipiga simu kwa yulee mtu
>aliyekuwa mchumba wake miaka kumi na mbili nyuma na
>ambaye sasa anakwenda kwa hadhi ya "mkewe". Mazungumzo
>yaokwenye simu sasa ni "makavu" kama mtumba wa Manzese
>........!
>
>"Hujambo ?"
>"Sijambo ! Za kazi ?"
>"Safi, hawajambo hao ?"
>"Hawajambo tu !"
>"Huyu aliyekuwa anaharisha vipi ?"
>"Anaendelea vizuri, nimempa
enthoromycin naona
>inamsaidia"
>"Sawa huyo fundi wa TV naye kishafika ?"
>"Sijamuona !"
>"Sawa, akija muangalie sana asiibe vitu kwenye hiyo
>TV !"
>"Sawa, sasa Baba nanii...!"
>"Unasemaje?"
>"Kuhusu ile losheni"
>"Umeshaanza! Nimesema nitakununulia!"
>"Jamani Baba nanii.....! Mwezi wa pili huu sasa, kila
>siku unaniambia hivyo hivyo!"
>"Alaa! Tumeshaanza kuhesabiana siku sasa!"
>"Basi yaishe ! Mimi nilikuwa nakukumbusha"
>"Haya, mimi nitachelewa kurudi nyumbani kidogo kuna
>jamaa naenda kumcheki nikitoka kazini !"
>"Sawa"
>"Baadaye basi"
>"Sawa"
>Kiumbe kiitwacho mwanaume kinamaliza kuongea na mkewe
>na kukata simu.Bila shaka utapata taabu kukubali
>kwamba huyo ndiye yule yule aliyekuwa anaongea kwenye
>simu ya kwanza miaka kumi na mbili iliyopita. Bila
>shaka pia utajiuliza, yako wapi manenoyale
'darling',
>sweetheart', mpenzi na wimbo wa 'ooh my sweet my
>sugar!' sasa yamekuwa ni bidhaa adimu mdomoni mwa mume
>na masikioni kwa mkewe. Lakini ni kweli kwamba maneno
>hayoyamekuwa bidhaa adimu kwenye mdomo wa kiumbe hiki,
>mume ?
>
>Hebu tusikilize simu hii ya mwisho ya kiumbe huyu
>dakika chache tu baada ya kuongea na mkewe anaongea na
>simu hii akiwa amevua ile hadhi ya mume na kujivika
>mwenyewe bila kushurutishwa na mtu, hadhi ya buzi na
>anayeongea naye ni kiumbe mwenye hadhi ya mchuna buzi.
>Patamu hapo, babu yangu!
>
>"Haloo, darling!"
>"haloo mambo"
>"Poa! Unafanya nini sasa hivi darling wangu?!"
>"Aaa nipo tu natengeneza nywele zangu!"
>"Yees ! Zitengeneze vizuri ule mtindo ninoupenda,
>jioni nitapita hapo nikupeleke ukapate vikuku na
>vikopo viwili vitatu!"
>"Sawa darling ! Halafu dear, vipi kuhusu vile
vitenge
>vya Zaire wanavyopitisha wale kinamama niliokuambia!?"
>"Darling na wewe ! Si nilishakwambia wakipitisha tena
>we chukua tu pea mbili halafu uniambie tu mimi
>nitakupa pesa?!"
>"Asante ! Na vile viatu je ?"
>"Darling sasa unataka kuniudhi ! Nimeshakuambia kuwa
>sio lazima uniombe ruksa kila kitu ! We chukua halafu
>unaniambia mi nakupa hela, sawa ?"
>"Sawa mpenzi, nashukuru! Sasaaaa?"
>"Wee endelea kujitayarisha, mi nikimaliza tu kazi
>hapa nakuja kukupitia, au vipi !"
>"Sawa halafu nakumiss ile mbaya!"
>"Mi pia"
>"Asuu, haayo maumbile yako yananipendeza!"
>"Jamani mpenzi ! Hivi wenzako hawakusikilizi kweli
>hapo!?"
>"Watajaza ! Asuu roho ingekuwa nguo ningekuazima
>univae hadi mileleeeeee....!"
>"Bwana hebu acha!"
>"Ok basi darling, tutaonana baadaye!"
>"Haya, dear!"
>Mpsyuuuuuuuuuuuuuu!"
>"Asante
darling!"
>"Asante darling!"
>
>
> Naona tuishie hapa kwanza maana tayari kuna baadhi ya
>wanaume wameshaanza kuuchuna na kununa, kwa vile simu
>hizi tatu "zimewagusa"kiaina. Kazi kwao. Ujumbe wetu
>uko pale pale; wanaume, wake zenu wanastahili pia hizo
>'darling', 'oh my sweet', 'honey', mpenzi,
>'sweetheart' na 'asuu kila kilicho cha kwangu wewe
>chukua', mnazowapa wasiostahili ! Mungu kibariki
>kiumbe kinachoitwa mwanaume !.
>
>MWENYE MASIKIO,....................
KIAPO CHA MAWAZIRI

MIMI JOHN LAGER MAGUFULI, NAAHIDI KUTOIRICHMOND NCHI YANGU NA KWAMBA NITAMWAKYEMBE MTU YEYOTE ATAYEIBALALI NCHI YANGU.
NITAJIEPUSHA NA UNGOYAYI, UKARAMAGI, AU USABAHA WA AINA YEYOTE NA KWAMBA WAKATI WOTE NITAWALINDA WOTE WANAOISLAA, AU KUIZITO NA KUIKILANGO NCHI YETU.
EWE MWENYEZI MUNGU NIBARIKI.
Subscribe to:
Posts (Atom)

































